News
Ndafu ni nyama ya mbuzi ambayo ni maarufu kwa kabila la Wachaga huandaliwa kwa kuokwa na kupambwa kiaina na viungo vya karoti, vitunguu na nyanya maalumu kwa kuliwa kwenye sherehe mbalimbali zikiwamo ...
Nyumba ya sanaa juma hili imekutana na wasanii wa mjini Beni mkoani Kivu kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo ambao wamekuwa wakihimiza amani katika nyimbo zao, sanaa ya muziki ...
Waasi wa M23 wamesitisha ushiriki wao katika mazungumzo ya moja kwa moja na serikali ya Kongo huko Doha, nchini Qatar. Majadiliano haya, ambayo yalichukua karibu wiki tatu, hayakuzaa matunda ...
Waziri Mkuu wa Japani Ishiba Shigeru amehudhuria Mkutano wa Baraza la Usalama wa Taifa kujadili masuala ya usalama wa kiuchumi kuhusu hatua za ushuru za Rais wa Marekani Donald Trump. Serikali ya ...
Afisa mmoja mwandamizi wa kundi la wanamgambo la Hamas Bassem Naim, amesema mazungumzo kati ya kundi hilo la Kipalestina na wapatanishi kuhusu makubaliano ya kusitisha mapigano yanashika kasi.
Amurka ta ƙaƙaba wa Rasha takunkumai bayan mamayar da ta yi wa Ukraine a 2022. Trump ya fara nuna abota a kan Rasha tun bayan da ya koma mulki wa'adi na biyu. Ya ci alwashin kawo ƙarshen yaƙin ...
Ikulu ya Marekani imefafanua kuwa kiasi hicho cha asilimia 125 inarejea kile kinachoitwa ushuru wa kutendeana ambao umeongezwa tangu wakati huo. Sasa wanasema kiasi hicho ni asilimia 145.
hasa dhidi ya timu zinazocheza vizuri mbele ya mashabiki wao. Mchango wa Jean Charles Ahoua hauwezi kubezwa tangu ajiunge na Simba. Ndiye aliyewapa Simba bao muhimu Simba pale Zanzibar.
Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema kuwa sekta ya madini imepiga hatua kubwa na ya kihistoria kwa mchango wake kufikia asilimia 10.1 kwenye pato la Taifa mwaka 2024. Amesema lengo lililowekwa ...
ambazo ndizo zinazokumbwa na athari mbya zaidi za mabadiliko ya tabianchi licha ya kuwa na mchango mdogo katika utoaji wa hewa chafuzi duniani. “Afrika na maeneo mengine ya dunia yanayoendelea ...
Wizara ya Madini imetangaza kuwa Sekta ya Madini nchini Tanzania imepiga hatua kubwa ya kihistoria kwa kufikia mchango wa asilimia 10.1 katika Pato la Taifa mwaka 2024, ikiwa ni mwaka mmoja kabla ya ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results